Posts

Wahamiaji kutoka Amerika ya Kati wakijaribu kuingia marekani

Image
  Menu Wachezea kichapo wakitaka kwenda Marekani Hamza Fumo 12 hours ago  599 Msafara wa wahamiaji kutoka Amerika Kusini uliokuwa ukielekea nchini Marekani umekutana na marungu na gesi za kutoa machozi nchini Guatemala, ambako vikozi vya usalma vilifunga njia yao ya kupita kuelekea Marekani. Maelfu ya watu walizuiwa kwenye barabara karibu na mpaka wa Guatemala na Honduras. Serikali imesema haingekubali “matembezi ya umati wa watu kinyume cha sheria “. Wahamiaji wanaokadiriwa kuwa 7,000 , wengi wao kutoka Honduras, wameingia katika siku za hivi karibuni, wakikimbia umasikini na gasia. Wanatumaini kusafiri hadi Mexico, na baadaye kuufikia mpaka wa Marekani. Kila mwaka, maelfu ya wahamiaji wa Amerika ya kati hujaribu safari hii ili kujaribu kufika Marekani, mara nyingi kwa hutemea kwa miguu. Rais mteule wa Marekani Joe Biden, kutoka chama cha Democrat, ameapa kuondoa sera kali za uhamiaji zilizowekwa na mtangulizi wake, Donald Trump, kutoka Republican. Lakini utawala wa Bw Biden ,ambao ut

INSTITUTE OF SOCIAL WORK DAR ES SALAAM

INSTITUTE OF SOCIAL WORK DAR ES SALAAM DEPARTMENT OF SOCIAL WORK COURSE: BASIC TECHNICAL CERTFICATE IN COMMUNITY WORK WITH CHILDREN AND YOUTH. MODULE NAME: INTERGRATED DEVOLOPMENT IN COMMUNITIES MODULE CODE                             :             0402 LECTURER NAME                           :            RUKIA MWINYI TYPE OF ASSIGMENT                   :            GROUP WORK GROUP NUMBER                           :             3 NAME OF PARTICIPANTS MTAGAWA TAJI W.                   BTCCY/T.2019/188 PASCHAL     GRACE                     BTCCY/T.2019/045 MWASE   MATILDA S.                BTCCY/T.2019/138 MWILAFI HILDA T.                     BTCCY/T.2019/155 FAUSTINE JANETH J.                 BCCY/T.2019/090 RUYAGA TUISABE                     BTCCY/T.2019/041 LIMBWILINDI ZAKRA                BTCCY/T.2019/190 MLOGOLO SHABANI                BTCCY/T.2019/163 KAZIMIRY   SHEILLA M.             BTCCY/T.2019/010 UBUNGE STEFANO                   BTCCY/20

Namna ya kuandika ombi la mkopo

Namna ya kuandika ombi la Mkopo Kuna dhana imejengeka miongoni mwa jamii kuwa si rahisi na kuna usumbufu mkubwa kwa wajasiriamali wadogo na wakati katika  kupata mkopo. Dhana hii sio sahihi kabisa. Itambulike kuwa mabenki yanapata pesa kupitia utoaji wa mikopo, kama yasipotoa mikopo ni dhahiri kuwa yatapata ugumu katika kujiendesha. Kudhihirisha hilo hivi karibuni mabenki mengi yametangaza kupunguza riba za kukopesha ili tu kuwavitia watu wengi zaidi waweze kukopa. Benki ya CRDB kwa mfano, imepunguza riba ya mikopo binafsi kutoka asilimia 22 hado asilimia 16 na imeongeza mda wa kulipa deni kutoka miaka minne hadi miaka saba. Benki ya NMB kwa  upand mwingine imepunguza riba hadi asilimia 17 na benki ya BOA imepunguza riba hadi asilimia 11. Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani mabenki yanategemea biashara ya kukopesha ili yaweze kujipatia kipato. Tatizo kubwa ambalo limekuwa likifanya mabenki yasitesite kukopesha ni uelewa mdogo wa wajasiriamali katika masuala ya fedha na jinsi