Posts

Showing posts from June 12, 2019

UTURUKI YANUNUA SILAHA HATARI ZAIDI DUNIANI KUTOKA URUSI

Image
Uturuki kununua mfumo wa kujilinda dhidi ya makombora wa S-400 kutoka Urusi licha ya pingamizi ya Marekani Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Mfumo huo wa S-400 ni mojawapo wa silaha kali ya ardhini dhidi ya makombora Rais wa Uturuki Reccep Tayyep Erdogan amesema kuwa ana matumaini kwamba mfumo wa kujilinda dhidi ya makombora wa Urusi ambao Washington unauona kama tishio kwa ndege za Marekani utawasilishwa nchini humo mwezi Julai. Marekani imesema kuwa Uturuki haiwezi kuwa na mfumo huo wa S-400 pamoja na ndege za kivita za Marekani aina ya F-35. Lakini bwana Erdogan amesema kuwa Uturuki itamwajibisha mtu yeyote atakayeiondoa kutoka kwa mpango huo wa ununuzi wa ndege za F-35 Uturuki ambayo ni mwanachama wa Nato imetia asaini ya kununua ndege 100 aina ya F-35 na imewekeza vya kutosha katika mpango huo wa F-35. Kampuni za Uturuki huz

Ratiba ya Mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2019

Image
Ratiba ya mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon 2019 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari  Mkufunzi wa timu ya taifa Stars nchini Tanzania Emmanuel Amuneke ametabiri kwamba majina makubwa katika kinyang'anyiro hicho huenda yakayaaga mapema mashindano hayo . Nyota huyo wa zamani wa Nigeria na barcelona anafikiri kwamba timu zisizo za majina makubwa katika mchezo huo huenda zikayashangaza mataifa makubwa. Raundi ya Kwanza Tarehe na Muda Mataifa Mataifa 21.06. 23:00 Egypt Zimbabwe 22.06. 17:30 D.R. Congo Uganda 22.06. 20:00 Nigeria Burundi 22.06. 23:00 Guinea Madagascar 23.06. 17:30 Morocco Namibia 23.06. 20:00 Senegal Tanzania 23.06. 23:00 Algeria Kenya 24.06. 17:30 Ivory Coast South Africa 24.06. 20:00 Tunisia Angola 24.06. 23:00 Mali Mauritania 25.06. 20:00 Cameroon Guinea Bissau 25.06. 23:00 Ghana Benin Raundi ya pili 26.06. 17:30 Nigeria Guinea 26.06. 20:00 Uganda Zimbab