Posts

Showing posts from June 14, 2019

BIKRA ILIVYOKUA INAWATUNZA WANAMWARI ZAMANI NA ILIVYOGEUKA ADIMU LEO

Image
Shuka jeupe: Jinsi mila za ubikira zinavyoendelea kuwazonga maharusi wa leo Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habar "Alipoanza kuvua nguo mbele yangu baada ya harusi, nilijawa na woga moyoni," anakumbuka Elmira (si jina lake halisi). "Japo nilijitahidi kuukubali uhalisia wa maisha ya baada ya kuolewa, haikunipoza woga wangu hata kidogo. Kichwani mwangu nikawa najiambia kuwa inanipasa nami nianze kuvua nguo." Elmira alikuwa na miaka 27 alipoolewa, alikuwa mhitimu wa Chuo Kikuu na akifanya kazi kama mkalimani. Alichaguliwa mume na wazazi wake. Alikubali kuolewa ili "kumfanya mama awe na furaha." "Alikuwa ni jirani yetu, lakini tulikuwa ni watu tofauti kabisa; yeye hakuwa na elimu, hatukuwa na kitu chochote cha kutuunganisha," anakumbuka Elmira. "Nilitambulishwa kwake na kaka zangu, na waliniambia kuwa alikuwa ni mtu mwema. Mama alijawa na furaha kuw

BURDAN:HARMONIZE AWAZAWADIA WAZAZI WAKE MAGARI MAWILI KILA MMOJA LEKE

Image
HARMONIZE AWAZAWADIA WAZAZI WAKE MAGARI MAWILI | BABA LAKE NA MAMA LAKE Mwanamuziki wa bongo fleva kutoka lebo ya WCB Harmonize amewazawadia wazazi wake zawadi ya magari mawili mapya aina ya Harrier New Model ambapo kila mmoja amempatia gari lake. Kupitia insta story ya ukurasa wake instagram Harmonize amepakia kipande cha video akiwakabidhi magari hayo Harmonize akiwa na mpenzi wake Sarah walikua na furaha kubwa huku wazazi wa Harmonize akipewa funguo na kila mmoja kufungua  gari lake. Gari aina ya Harrier new model huuzwa kwa bei ya kati ya Tsh milioni 20 mpaka 30. Hili ni somo tosha ya kuwa tunapofanikiwa hata kwa kidogo au kikubwa tusiwasahau wazazi au walezi wetu kwani wao ndiyo daraja la wewe kufika katika hayo mafanikio unayoyapata ili Baraka tele ziendelee kumiminika kwako. Asante sana kwa kusoma. Unaweza tazama picha hapa.