KARIBU KATIKA UKURASA WA MWAGILLOH
TUNATENGENEZA KATIBA ZA VIKUNDI STATIONERY IPO MBEZI KITOPENI DAR ES SALAAM JIRANI NA OFISI ZA KATA AU ENEO LINALOJENGWA STAND MPYA YA MABASI YA MIKOANI
UTAFITI
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
-
Utafiti uliofanywa na Mzungu Jane Goodall (Pichani) katika hifadhi ya gombe Tanzania, unasema asilimia 98 ya akili ya Sokwe na binadamu zinafanana, imetofautiana kwa asilimia 2 tu.
UKUMBUSHO WENYE MANUFAA* *6* *FAIDA YA KUOA MWANAMKE ALIYEKUZIDI UMRI* ``` 1⃣ :Anajiheshimu, anajiona ni mkubwa so inshu Za upuuzi hazipi nafasi. 2⃣ : Anamtii sana mumewe Kwa sababu asipomtii sana mumewe Basi ni rahisi Mume kuhisi anamdharau Kwa kuwa Na Mdogo .. Na Utii ndio tunu pekee ndani ya NDOA. 3⃣ : hawezi kumfokea au kumgombeza mumewe Kwa sababu nature ya umri. 4⃣ : hujiona tu ana wajibu mpana sana ndani ya familia, hakurupuki. 5⃣ : ni rahisi sana kusamehe, makosa ya Mume huyachukulia kama makosa ya mdogo wake. 6⃣ : Mume huwa mwangalifu sana Kwenye kuijenga nyumba yake, hakurupuki Kwa sababu atachelea Kufanya utoto Na mkewe kumcheka. 7⃣ : wakati Wa mashauriano Wanashauriana kila Mtu akiwa Kwenye Enzi yake, Mume akishikilia Kama Kichwa Cha Nyumba huku akitambua anayenishauri kaliona jua kabla yake..lazima awe makini sana. 8⃣ : Mke humstahi sana Mume wake, hamropokei nje, hujihisi atabezwa kwanini ameolewa Na mdogo so hustahi mambo mengi.. 9⃣ : Mke hujiona
HISTORIA YA KHALIFA WA PILI SAYYIDNA OMAR (R.A) Omar bin Khatab alizaliwa mwaka 583 A.D ,asili ya familia yake inatokna na kabila LA Kikureish ..Katika ujana w ake Omar alikuwa maarufu ktk upiganaji .Baadhi ya wanahistoria wa kiislam wanasema Omar (r.a) alikuwa ni miongoni mwa watu wachache waliokuwa wanajuwa kusoma na kuandika ktk Mji wa Makka kabla ya kuja Uislam . Kazi yake kubwa ilikuwa ni biashara .Wakati Mtume s.a.w anateremshiwa wahy na kulingania Uislam Umar alikuwa ni adui mkubwa wa Uislam na Mtume (s.a.w). Kuslimu kwa Omar bin Khattab (r.a) Omar aliiƱgia ktk Uislam mwaka wa sita baada ya Utume.Mwaka huo viongozi wa Kikureish walieka mkutano wa kutafuta mtu atakayejitolea kumuua Mtume s.a.w .Omar alisimama na kusema yeye ni mtu sahihi wa kufanya kazi hiyo. Wakati yuko njiani akiwa na panga alikutana na Sa'ad bin Abii Waqas .Omar alimwambia Sa'ad "nakwenda kumuu Mtume s.a.w .Baada ya majadiliano Sa'ad alisema " Kwanza unapaswa kushuhilikia fami
KUMEKUA NA DHANA POTOFU KWA BAADHI YA WANAWAKE KIPINDI CHA UJAUZITO ELIMU KWA WANAWAKE *FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIPINDI CHA UJAUZITO* _Mwanamke akiwa na mimba anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa hata kama anatarajia kuzaa ke sho yake, hakuna tatizo lolote linalomzuia kufanya hivyo, baadhi ya wanawake wamekua wazito sana kufanya hivyo kwa kua na sababu mbalimbali za kujitetea bila kujua kwamba wanazikosa faida hizi ambazo ni muhumu kiafya faida zenyewe ni kama zifuatazo_ *Husaidia uchungu mzuri na kupona mapema.* kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa huambatana na kubana kwa misuli ya nyonga hii husaidia kuweka imara misuli ya nyonga ambayo ni muhimu sana wakati wa kusukuma mtoto na baada ya kuzaa kwani misuli hii ikiwa legevu mwanamke huweza kushindwa kuzaa kwa njia ya kawaida na hata baada ya kuzaa huweza kushindwa kuzuia mkojo usitoke wenyewe au kuvuja damu kwa muda mrefu. *Hupunguza kwenda ovyo kukojoa au kujikojolea.* Wakati wa ujauzito mtoto anapozidi kua mkubwa
Comments
Post a Comment