TEKNOLOJIA
TEKNOLOJIA: Mkurugenzi wa Taasisi ya Twaweza ashiriki mkutano wa Kimataifa kwa njia ya video
> Aidan Eyakuze akiwa nchini Tanzania aliweza kushiriki na kutoa maoni yake katika mkutano wa Uendeshwaji wa Serikali kwa Uwazi uliofanyika nchini Canada
> Eyakuze hakuweza kusafiri kuhudhuria mkutano huo kutokana na hati yake ya kusafiria kushikiliwa na Idara ya Uhamiaji

Comments
Post a Comment