IMANI

Mwaka 2014 mtu mmoja kutoka Hail, Saudi Arabia ambae hakutaka jina lake kutajwa aliweka Friji kubwa nje kwaajili ya watu mbalimbali kuweka vyakula kwaajili ya kuwasaidia watu maskini ambao hawajiwezi. Lengo ni kuwaondolea aibu ya kuomba chakula kwa watu badala yake kupitia Friji hizo mtu anachukua chakula bure bila kuomba.

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA ZA KUOA MKE ALIEKUZIDI UMRI

HISTORIA YA KHALIFA WA PILI SAYYIDNA OMAR (R.A)

Elimu kwa wanawake