HABARI

Ndugu 4 wafamilia moja akiwemo Bibi harusi wamefariki Dunia alfajiri ya leo kwa ajali ya gari karika eneo la Machimbo Mbeya, wakati wakielekea DSM kwa maandalizi ya harusi, waliofariki ni Diana Mwandunga (Bibi Harusi), Faraja na James Mwandunga, na mtoto Janton.

Comments

Popular posts from this blog

Namna ya Kuandaa Mchanganuo wa biashara

Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

INSTITUTE OF SOCIAL WORK DAR ES SALAAM